Top Ad 728x90

Wednesday 17 February 2016

Mange Kimambi Afunguka, Atoa Ushauri Kwa Wema Sepetu Baada ya Kusemekana Mimba Kutoka...Amwambia Aachane na Wanaume wa Mitandaoni


From Mange Mange kimambi_

"Baada ya kusoma posti ya Idris all I can say is Pole mdogo wangu.
Kama hukuwa na mimba kama wasio kupenda wanavyodai au kama kweli ulikuwa nayo ni wewe, Idris na Mungu mnaeujua ukweli. Wanawake wengi mno wanapata miscarrage especially mimba ya kwanza, ila kwako wewe lazma waseme ulikuwa unatafuta Kiki. Like is said ukweli mnaujua wenyewe.
Wema wewe sio mtu kuchukua ushauri ila this time naomba uchukue ushauri wangu pls. Theres a reason why wanawake huwa wanaambiwa hata na madoctor wasitangaze mimba mpaka ipite 4 months and thats because mimba chini ya miezi minne inaweza kutoka anytime. Hata dadako hapa huwa nakuwa na kiherehere cha kutangaza kwenye blog nna mimba ila huwa najikaza mpaka niingie 2nd trimester.
Next time news kama hizi only share with your mom na dada zako not marafiki . Kumbuka hizi habari zilianza kutanganzwa na marafiki zako , i think baada ya hapo na wewe ndo ukapata mshawasha wa kutangaza. Hao sio rafiki zako Wema hakuna rafiki anaweza kumtangazia rafiki yake anaempenda kimimba cha mienzi miwili ,huo ni wakati wa kuomba kwa Mungu mimba ikue na ikomae na sio muda wa kutangazia wajinga. Mimi personally nilitaka hata kulia ulipotangaza but it was too late.

Another thing Wema, hivi kwanini unakubali kuwa pressured na wajinga wa social media kuzaa when you are not ready??? The pressure is getting to you Wema. Mbali na familia yako ni mimi peke yangu ndo ninae jua umri wako Wema, Wema huna hata 26 years we mtoto. toka lini mtu mdogo hivyo akawa classified as tasa??? Why unakubali kupewa pressure uzae ukiwa mdogo hivi? hata kuolewa hujaolewa?? Achana nao mdogo wangu, acha waongeee midomo mali yako. Subiri uolewe ndo uzae ,hujawahi hata kuishi na mwanaume for more than a year why uitwe tasa na wewe uanze kupata mshawasha wa kubeba mimba? Achana na hao wapuuzi. Mwishowe uje kuzaa mtoto while you are not ready au uzae na mtu huna mpango wa kuishi nae kisa tu uwakomeshe hawa wajinga wa kwenye mitandao. utajikomesha mwenyewe. Please dont succumb to the pressure. You are way too young.

Wanakushindanisha na wanawake ambao unatakiwa uwaamkie tena kwa kupiga goti na wewe unakubali kabisaaa. Kuzaa wanazaa mpaka panya when the time is right utazaa.

Another thing, don't succumb to the pressure ya maisha ya ex wako. Kama Kweli uliwahi kumpenda be happy for him that he is happy! That's what love is! Na wewe you will be happy. Usipewe pressure na hawa mbwa wa kwenye mitandao kuwa your ex is happy with so and so mpaka Na wewe uwe Na pressure ya kuwa na Mtu. Au kukufanya Na wewe uanze kuonyesha uko in love na Mtu. You are a beautiful woman you can pull any man you want. Take your time pls! Hawa mbwa wa kwneye mitandao wanaweza kukufanya ukaharibu Maisha yako ili uwa prove wrong. Achana nao. .

Listen everything happens for a reason. Kuna Sababu maalum why wewe Na Diamond hamko pamoja and that's because kuna mwanaume Mungu amekupangia. Labda ushakutana nae maybe not but yupo wa kwako.

Mi Naomba uwe Kama Beyoncé , her love life is soooooo private Mpaka haters wanakosaga cha kusema. Be private na wanaume maboyfriend and so forth. Ukiolewa Au ukichumbiwa ruksa kumtangaza mumeo. But before that be careful Maana mkiachana watu wanakuwa wana vitu vya kuku sema.Don't succumb to the pressure ya kushindanishwa na ex wako. Yani watu wanawafanya Kama wajinga, wanawashindanisha daily waone mtaishia wapi Na nyie mnawapa faida.All those videos ulikuwa unaweka snap chat of you and Idriss baadae zitakuja kukuhaunt, there is no need. Usishindane nao. Acha waweke video zao za kihindi and so forth wewe keep your love life private , utaona faida yake baadae. Acha waje kushtukia Wema anaolewa na mimba ya miezi 9 juu Wabaki wametoa macho. Au washtukie umeshazaaa kabisa waseme umeiba mtoto

Please achana na hawa marafiki Wema. Kama iki work out with Idris good for you, if not nakushauri tafuta mwanaume ambae hayuko hata Instagram au social media plssss ili akuongoze vizuri. Find a guy mwenye Maisha tofauti kabisa na ya kwako. Mkaka flani meneja wa benki Huyo ndo atakubadilisha completely but these guys wa kwenye mitandao Kama wewe issue itakuwa pale pale. Like ungekuwa Na mkaka wa benki huko kwanza hata Ile interview ya clouds angekukimbizaaaa angekuchapa vibao kabla hata hujatangaza hiyo mimba

0 comments:

Post a Comment

Top Ad 728x90