Top Ad 728x90

Wednesday 24 February 2016

Mgombea Urais wa Marekani Anayeichukia Africa na Aliyeahidi Kuwatupa Jela Museven na Mugabe Azidi Kupeta Uchaguzi wa Marekani


Donald Trump ameshinda tena katika jimbo la Nevada. Ni mfulilizo wa kushinda katika majimbo matatu na hivyo kuwa kidedea kwa chama chake cha Republicans akiashiria kuteuliwa na chama hicho kuwa mgombea wake wa kiti cha uraisi.


Source: CNN

0 comments:

Post a Comment

Top Ad 728x90