Top Ad 728x90

Saturday 20 February 2016

Hii ni Noma...........! Makubwa Na Mazito Yaibuka Mtandaoni Kuhusu NUHU Mziwanda Na Mpenzi Wake Mpya wa Sasa Huwezi Amini Soma Hapa.

Huku Instagram Mambo ni moto..Watu washafukua file ya demu mpya wa Nuhu Mziwanda na kuliweka hazarani....Demu aja juu na kuwajibu waliofukua file....

baby_ake
 Jina kamili anaitwa Zuhura abdul Sabil ,Huyo msichana kwanza kwao rujewa mbeya mama ake alikuwa diwani wa rjw, ni mke wa mtu mumewe anaitwa naseeb huko Oman alienda kumsimamia mumewe biashara yake, Alishawah kutaka kuolewa na mwarab mmoja wa Iringa yule baba baada ya kupata story yake siku ya harus hakutokea bibie huyo akalazwa hospitali!!!! Ashatembea na abdukiba, Sam wa ukweli , beka na wasanii kibao mpka tino Wa bongo move kapiga ni mtanzania Pure kabisaaaa kazaliwa rujewa mbeya, kasoma shule inaitwa St Anna na secondary kasoma usangu sec mpaka form two na hakuendele kwao wamezaliwa watatu Kakaake anafanyaga mazingaombwe anaitwa Dr Sabil ukimsearch YouTube utampaka, sasa point YANGU ni kwamba nuh bdo unasafari ndefuuu ya kutafuta demu mwingine au ndio unalipiza kisasi kwa shishi ila mke Wa mtu sumu oooh utatolewa busha tutashangaa nuh anatembea na msuri kumbe watu washafanya vyao

Majibu ya demu wa Nuhu Mziwanda haya hapa....

0 comments:

Post a Comment

Top Ad 728x90