Top Ad 728x90

Friday 19 February 2016

A.Y Afunguka Kuhusu Mpango Wake wa Ndoa, Asema Bado Yupo Sana...Kwanini..?

Rapper mkongwe kwenye tasnia ya muziki nchini Tanzania, A.Y amefunguka na kusema kuwa bado hajapata msukumo wowote wa kuoa toka nafsini mwake.

Rapper huyo aliyasema hayo kwenye mahojiano yake na kituo kimoja cha Tv na kuongeza kuwa ndoa ni wito,ukimwita ataitika

“Ndoa ni wito kuna sauti huwa inakwambia kabisa huu ndio muda wako,sauti hiyo kila nikiiita nasikia mwangwi tu” alisema A.Y na kutania kuwa mpaka swahiba wake Mwana Fa aoe kwanza maana yeye ndio mkubwa

0 comments:

Post a Comment

Top Ad 728x90