Mwanadada huyo ambaye picha yake akiwa na Ommy Dimpoz ilizagaa huku wakiwa wamevalia sare za shule ameweka wazi kuwa alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na Ommy dimpoz na kuthibitisha kuwa Dimpoz alikuwa “akipiga mechi” kama kawa.
“Ni mzima kabisa,i don’t know huyu Nay anatafuta tu kiki..” alifunguka mrembo huyo ambaye kwa sasa anasema yuko kwenye mahusiano mengine.
0 comments:
Post a Comment